Afisa habari wa Simba SC Hajji Manara (kulia) akikabiliana na mchezaji wa wacheza filamu wa Bongo Movies
Afisa
habari wa klabu ya Simba Hajji Manara jana alikuwa kivutio kikubwa
kwenye siku ya Simba Day pale alipoingia uwanja kuonesha kipaji chake
cha soka wakati timu yake ya viongozi wa Simba SC ilipokuwa ikicheza na
wacheza filamu wa Tanzania (Bongo Movies) mchezo uliokuwa wa utangulizi
kabla ya mechi ya Simba SC haijacheza na Sports Club Villa ya Uganda.

0 comments:
Post a Comment