Kwenye interview na Mambo Mseto ya Radio Citizen November 19 2014 Chameleone amekanusha hizo taarifa kwa kusema ‘kitu ambacho nitakwambia kabla ya kusema chochote, mimi naheshimu wasanii wote mashariki na duniani na nataka niwakumbushe kitu kingine, nimekaa kwenye muziki kwa miaka kumi na nne… mimi sio msanii mchanga’
‘Mimi ni msanii mkubwa, sio msanii mchanga… naheshimu kila msanii kuanzia mchanga mpaka mkubwa na vilevile mimi pia ni msanii mkubwa na siwezi kuomba collabo kama hivyo, nimeshangazwa sana’
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment