Kwenye Blog ya issamichuzi.blogspot.com kuna taarifa kuhusu kutua kwa kivuko cha Mv. Dar es Salaam ambacho kitakuwa kinafanya safari kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo kama inavyoonekana kwenye hizi picha.
Waziri wa Ujenzi John Magufuli na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wakati wakisubiri kivuko hicho kuwasili bandarini Dar.
About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment