Mashabiki wa Simba waliofurika uwanja wa Mkwakwani wakishangilia goli la kwanza lillilofungwa na Danny LyangaKikosi cha Simba SC kilichoanza kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union kwenye uwanja wa Mkwakwani, TangaWachezaji wa kikosi cha Coastal Union kilichoanza dhidi ya Simba SCWachezaji wakisalimiana muda mfupi kabla mchezo kuanzaManahodha wa timu zote mbili Ally Shiboli (Coasta) na Jonas Mkude (Simba) katika picha ya pamoja na waamuzi wa mchezo waoWachezaji wa akiba wa kikosi cha Simba wakifatilia mchezo kwa makiniWachezaji wa akiba pamoja na viongozi wa benchi la ufundi la Coastal Union wakifatilia mchezo kwa makiniAfisa habari wa Simba Haji Manara akiingia uwanja wa Mkwakwani, TangaDanny Lyanga akipambana na beki wa Simba wakati wa mchezo dhidi ya Coastal Union Danny Lyanga akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dhidi ya Coastal UnionIbrahim Twaha wa Coastal akijaribu kumzuia kiungo wa Simba Said Ndemla Hamisi Kiiza akishuru baada ya kutupia kambani bao dhidi ya Coastal Union na kufikisha jumla ya mabao 19 kwenye ligiWachezaji wa Simba wakimpongeza mchezaji mwenzao Hamisi Kiiza aliyefunga bao la pili kwenye mchezo dhidi ya Coastal UnionMashabiki wa Simba wakionesha bango lenye ujumbe wa kuisifia timu yaoBaadhi
ya viongozi wa klabu ya Simba wakiwa jukwaani wakifatilia mchezo kati
ya Coastal Union dhidi ya Simba kwenye uwanja wa Mkwakwani, TangaShabiki wa Simba akijaribu kuruka kutoka jukwaani kuingia uwanjaniMashabiki wa Coastal Union wenye asili ya kigeni walikuwepo uwanjani wakii-support timu yaoShabiki wa Simba akishukuru baada ya mchezo kati ya Coastal Union dhidi ya Simba na Simba kupata pointi tatu Mabango yenye ujumbe wa mashabiki wa Coastal Union kwa uongozi wa klabu yaoAfisa
habari wa Simba Haji Manara akitoka kuwashukuru mashabiki wa Simba
waliosafiri kutoka sehemu mbalimbali hadi Tanga kuishangilia timu yao
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment